Christian Atsu dakika ya 4' anaipachikia bao Timu yake Ghana
Dakika ya 44 kipindi cha kwanza mwishoni Ghana waliongeza tena bao na kufanya 2-0 dhidi ya Guinea baada ya kujichanganya kwa kutoa pasi hewa na K. Appiah kuupata na kutofanya makosa.
Christian Atsu alifunga tena bao dakika ya 61 kipindi cha pili
No comments:
Post a Comment