Katika hali ya kutoeleweka mpira ulisimama katika dakika ya 83 na Mashabiki wa Guinea kuingia Uwanjani na mpira kusimama kwa Muda....Ulinzi kuimarishwa uwanjani hapo...Helicopter nayo ikazunguka juu ya Uwanja kwa Ulinzi zaidi...
Kisha mtanange uliendelea...baada ya Mashabiki wengi wao kutoka Uwanjani...
Issue ilianzia hapa dakika ya 82Wachezaji ilibidi wasubilie helicopter ifukuze Mashabiki waliokuwa wanataka kulianzisha...ndipo Usalama uliimarishwa na mambo kwenda safi..
Mwewe akiwatutumua Mashabiki
Mashabiki Chini....
Polisi walilazimika kutumia mabomu ya Machozi kwenye Uwanja wa Malabo Stadium usiku huo
Wachezaji wa Ghana wakipewa msaada wa kutoka kwenye Uwanja na Askari
Polisi waliwasonga Mashabiki na kuwatoa Uwanjani hapo
Polisi waliwasonga Mashabiki na kuwatimua...
Shabiki Mwenyeji akiondolewa Uwanjani
Na Wachezaji wa Equatorial Guinea nao walipewa Msaada kutoka Uwanjani usiku.
Taswira Uwanjani hapo...hii ni kuonesha Vurugu zilitokea..
Taswira..
Helicopter ilipitia pande zote za Uwanja huo
Mashabiki vigang'anizi hawa wote waliondoshwa Uwanjani
Mashabiki wa Ghana
Mashabiki wa Ghana...wakionekana kuwa na Wasiwasi huku wakiwa wanajua wanapointi mkononi za kuwapeleka Fainali...baada ya kuwa mbele ya bao 3-0
Ilikuwa ni Patashika..
ulinzi mkali ndani ya Malabo Stadium
Mtanange ulisimama hapa na kila Mtu kwenye kujiuliza...
Polisi wakiwa makini sana juu ya swala zima la kuweka mambo sawa "Amani iwepo"
Shabiki wa Ghana akitokelezea kwenye kamera
'Die Hard' Shabiki akionesha mambo
Andre Ayew (left) ambaye anaongoza kwa kufunga bao AFCON 2015 akichuana na mchezaji wa Equatorial Guinea Ivan Zarandona katika kipindi cha kwanza.
Kipa wa Equatorial Guinea Felipe Ovono akichuana na mchezaji Kwesi Appiah na kumkwatua chini jambo ambalo liliwazalishia nafasi ya kupata bao kwa mkwaju wa penati
kwa Wakaso Mubarak na kufanya 2-0 dhidi ya Equatorial Guinea.
No comments:
Post a Comment