BUKOBA SPORTS

Sunday, February 22, 2015

FULL TIME: TOTTENHAM 2 vs 2 WEST HAM UNITED, HARRY KANE AIOKOA SPURS NYUMBANI KWA KUSAWAZISHA BAO KWA PENATI DAKIKA YA MAJERUHI!

2-2 mpira umemalizika White Hart Lane.Harry Kane akiwa ameshika mpira baada ya kuisawazishia bao dakika za majeruhi baada ya kumalizia mpira uliotemwa kwa penati na kipa wa West Ham. Diafra Sakho akishangilia bao lake la pili kwa West Ham dakika ya 62 kipindi cha pili. Bao la Spurs lilifungwa na Danny Rose dakika ya 81, Spurs nao waliongeza kasi kwa kulishambulia lango la West Ham na dakika ya 90 mtanange ukiwa kwenye dakika za nyongeza Harry Kane aliisawazishia bao kwa mkwaju wa penati 90' +6 na kumaliza mchezo kwa sare ya 2-2.Cheikhou Kouyaté aliipachikia bao West Hma dakika ya 22 kipindi cha kwanza dhidi ya Spurs.Diafra Sakho akishangilia na mwenzake Stewart DowningDiafra akimpelekesha kipa wa Spurs BaoDanny Rose alitupia naeKipa wa West Ham Adrian akishangilia naeKouyate akifunga bao la kwanzaMeneja Sam wa Wes Ham kabanwa na Timu yake kutoka sare ya 2-2Mark Noble na Nabil wakichuana vikaliMakocha wa Timu zote mbili wakisalimiana kabla ya Mtanange
VIKOSI:
Tottenham Hotspur:
Lloris, Walker, Dier, Vertonghen, Rose, Mason, Bentaleb, Townsend, Dembele, Lamela, Kane.
Akiba: Soldado, Vorm, Fazio, Chadli, Eriksen, Stambouli, Davies.

West Ham: Adrian, Jenkinson, Reid, Tomkins, Cresswell, Noble, Song, Kouyate, Downing, Valencia, Sakho.
Akiba: Nolan, Jarvis, O'Brien, Collins, Demel, Jaaskelainen, Cole.
Refa: Jonathan Moss
 RATIBA/MATOKEO
Jumapili Februari 22

Tottenham 2 v 2 West Ham

Everton 2 v 2 Leicester City
Southampton 0 v 1 Liverpool"

No comments:

Post a Comment