BUKOBA SPORTS

Sunday, February 22, 2015

VODACOM PREMIER LEAGUE, FULL TIME: STAND UNITED 1 vs 0 SIMBA SC

Stand United wanapata bao dakika ya 15 baada ya kupata kona..na mchezaji wa Stand kumaliza mpira huo langoni kwa kichwa na kumfunga Ivo Mapunda.

Mpira umemalizika dakika 90 Stand United 1-0 Simba, Mpira huu pia ukitawaliwa na Vurugu za hapa na pale Stand United wakiumaliza wachezaji 9 Uwanjani na Simba 10 Kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga.

No comments:

Post a Comment