BUKOBA SPORTS

Sunday, February 8, 2015

WEST HAM UNITED 1 vs 1 MANCHESTER UNITED, DALEY BLIND AIOKOA KIPIGO UNITED UGENINI DAKIKA ZA MAJERUHI UPTON PARK!!

Daley Blind leo amekuwa mwokozi wa Man United pale alipoiokoa kichapo katika dakika za lala salama dakika ya 90 na mtanange kumalizika 1-1 kwenye Uwanja wa Upton ParkDaley Blind akishangilia kwa kukumbatiana na Shaw baada ya kuiokoa Man United kichapo katika dakika za Majeruhi dakika za nyongeza za dakika 90.Cheikhou Kouyaté kulia akipeta baada ya kufunga baoCheikhou Kouyaté anaifungia bao West Ham dakika ya 49 kipindi cha pili baada patashika ndani ya box kwa mpira uliopigwa wa adhabu frii kiki.Bao la West Ham lilivyopatikana..Moja ya patashika kwenye lango Kipa David De Gea akiokoa mpira uliopigwa na straika wa West Ham United Enner Valencia.
West Ham ndio waliotangulia kwa kufunga katika Dakika ya 49 kwa Bao safi la Beki wao Cheikhou Kouyate lakini huku zikiongezwa Dakika 4 za Majeruhi, Blind aliisawazishia Man United baada ya Krosi ya Marcos Rojo kuleta kizaazaa Golini mwa West Ham.
Man United walimaliza Mechi hii wakiwa Mtu 10 baada ya Luke Shaw kupewa Kadi ya Njano ya Pili na hivyo kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu mara baada ya kusawazisha Bao.
Sare hii imewabakisha Man United Nafasi ya 4 na Jumatano Usiku watakuwa kwao Old Trafford kucheza na Burnley katika Mechi nyingine ya Ligi Kuu England.

Kipa wa Man United David  De Gea mpaka sasa kaokoa mara mbili.Carl na Falcao wakipambana kuutafuta mpira..katika kipindi cha kwanza
VIKOSI:
West Ham wanaoanza:
Adrian, Jenkinson, Song, Tomkins, Cresswell, Kouyate, Noble, Downing, Nolan, Valencia, Sakho
West Ham Akiba: Jarvis, O'Brien, Amalfitano, Jaaskelainen, Cole, Oxford, Lee
Manchester United wanaoanza: De Gea, Valencia, Jones, Rojo, Shaw, Blind, Rooney, Januzaj, Di Maria, van Persie, Falcao
Man United Akiba: Mata, Smalling, Ander Herrera, Fellaini, Valdes, McNair, Wilson
Taswira ya Uwanja wa West Ham Upton Park
.Ukabaji leo kwa kwenda mbele kwa upande wa Man United...

Kocha Van Gaal amewaambia wachezaji wake kujituma Uwanjani na kuongeza bidii ili kuondoka na pointi tatu muhimu dhidi ya West Ham United.Radamel Falcao, Marcos Rojo and Victor Valdes arrive to catch the train for London ahead of Sunday's gameRadamel Falcao, Marcos Rojo na Victor ValdesLouis van Gaal gives his arms as rest as he prepares for the journey to the capitalIt's all smiles for Marouane Fellaini and Adnan Januzaj as they carry their bags and suits to the awaiting train

No comments:

Post a Comment