
Paddy McNair amesaini Mkataba mpya wa kumwezesha kuendelea kuichezea Manchester United mpaka 2017 na hapa alikuwa akisaini akiwa na Meneja wa United Louis van Gaal

McNair amefurahia uongozi wa Kocha Van Gaal kwenye Klabu hiyo ya Old Trafford na kuongeza kuwa anafuraha kuwemo ndani ya Uteuzi wa kikosi cha Kwanza cha Kocha Van Gaal.

McNair alicheza mchezo kati yao Man United dhidi ya Cambridge kwenye Ligi ya FA Cup na kusonga hatua ya Raundi ya tano.
No comments:
Post a Comment