Kipindi chs pili dakika ya 54 Edinson Cavani aliisawazishia bao PSG kwa kichwa baada ya kupokea krosi kutoka kwa Blaise Matuidi kama kona na kuweza kusawazisha bao kwa kichwa na kufanya 1-1. Mchezo huu utaendelea kwenye marudiano huko Stamford Bridge Chelsea watakapoikaribisha na wao PSG ili kuamua ni Timu gani inasonga hatua inayofuata ya Robo Fainali.
1-1 Cavani akishangilia akiwa na David Luiz
Dakika ya 36 Branislav Ivanovic anaifungia bao Chelsea 1-0 dhidi ya PSG bao la kichwa baada ya kusogezewa pasi ya kisigino na Gary Cahill. Mpaka mapumziko Chelsea ndio walikuwa wanaongoza kwa bao 1-0.
1-0 Branislav Ivanovic akishangilia..

Hazard akiwa na Mtu..hakupewa nafasi!

Kukabana" hakuna kupeana nafasi...

Patashika..Kipindi cha kwanza.

Wamekutana...

David Beckham akipeana neno na Kocha wake wa Zamani Man United Mzee Sir Alex Ferguson leo wakati wa Mchezo wa PSG na Chelsea. David Beckham alistaafu soka akiwa katika timu hiyo ya PSG msimu wa 2012-13 Ligue 1.

Mtanange ukiendelea..

David Beckham akiwa anatazama kipute kati ya PSG vs Chelsea huko Ufaransa.

Kikosi kilichoanza cha Chelsea dhidi ya PSG
VIKOSI:
Paris Saint Germain Wanaoanza: Sirigu, Van der Wiel, Silva, Marquinhos, Maxwell, David Luiz, Verratti, Matuidi, Lavezzi, Ibrahimovic, Cavani
PSG Akiba: Douchez, Camara, Bahebeck, Digne, Rabiot, Pastore, Kimpembe
Chelsea wanaoanza: Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Ramires, Matic, Willian, Fabregas, Hazard, Diego Costa
Chelsea FC Akiba: Cech, Filipe Luis, Zouma, Oscar, Cuadrado, Drogba, Remy
Refa: Cuneyt Cakir


Kocha wa Chelsea Jose Mourinho
No comments:
Post a Comment