BUKOBA SPORTS

Saturday, April 25, 2015

LA LIGA: ESPANYOL 0 vs 2 BARCELONA, NEYMAR NA LIONEL MESSI WAIPA USHINDI BARCA UGENINI LEO

Bao la kwanza la Barca lilifungwa na Neymar kipindi cha kwanza dakika ya  17 na bao la pili lilifungwa na Staa wao Lionel Messi katika kipindi hicho hicho dakika ya  25.Fowadi wa Barcelona Neymar akishangilia bao lake kipindi cha kwanza dakika ya 17.

No comments:

Post a Comment