BUKOBA SPORTS

Saturday, April 25, 2015

FULL TIME: MANCHESTER CITY 3 vs 2 ASTON VILLA, CITY CHUPUCHUPU!! FERNADINHO AFANYA MAJAMBO!

Fernandinho aokoa jahazi dakika za majeruhi!Manchester City walipata bao la mapema baada ya makosa ya kipa kutokea wa Villa na Sergio Agüero dakika ya 3 kufunga bao la kwanza na kipindi cha pili Aleksandar Kolarov aliwafungia bao la pili dakika ya 66 na Villa walipata bao kupitia kwa Tom Cleverley dakika ya 68 na bao kuwa 2-1. Carlos Sánchez alisawazisha bao dakika ya 85 nao City wakapiga bao la ushindi dakika za majeruhi dakika ya 89 na kufanya 3-2 kupitia kwa Fernandinho.

No comments:

Post a Comment