BUKOBA SPORTS

Saturday, October 3, 2015

KILIMAJARO STARS KUSHIRIKI CHALENJI NOVEMBA


Timu ya Taifa ya Tanzania bara (Kilimanjaro Stars) imedhibitisha kushiriki michuano ya timu za Taifa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA Chalenjji) itakayofanyika nchini Ethiopia kuanzia Novemba 21 – 06 Disemba, 2015.

Michuano ya CECAFA Chalenji ndio michuano mikongwe zaidi barani Afrika ambapo jumla ya nchi 12 wanachama hushirki michuano hiyo iliyofanyika mara ya mwisho mwaka juzi nchini Kenya na wenyeji kutwaa Ubingwa huo.

No comments:

Post a Comment