BUKOBA SPORTS

Saturday, October 3, 2015

MALINZI ATUMA SALAM ZA PONGEZI FECAFOOT, FMF


Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu wa nchini (TFF), Jamal Malinzi ametuma salam za pongezi kwa Alberto Simago Junior wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Msumbiji (FMF) na Sidiki Tombi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Cameroon (FECAFOOT) kufuatia kuchaguliwa kuwa marais wa mashiriksho ya mpira miguu.

Katika salam zake kwenda FMF na FECAFOOT, Malinzi amesema kuchaguliwa kwao kuogoza mashirikisho hayo kumetokana na imani ya wanafamilia wa mpira miguu.

No comments:

Post a Comment