BUKOBA SPORTS
Saturday, January 30, 2016
FULL TIME: CHICKEN IN 1 v 3 AZAM FC
Mabingwa wa Zimbabwe wadundwa 3-1 na Azam Fc ya Tanzania leo.
Kipre Tchetche kafunga bao la pili kwa mkwaju wa penati wakati lile la 3 na la mwisho wamejifunga wao wenyewe.
Mechi inayofuata kwa Azam Fc itachezwa tarehe 2 siku ya Jumanne.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment