Kikosi cha timu ya Yanga SC, kikiwa katika picha ya pamoja mapema kabla ya mchezo huo kuanza, ambapo wamechezea kichapo cha magoli 2-0 kutoka kwa timu ya Coastal Union ndani ya uwanja wa Mkwakwani Tanga jioni ya leo.
Wachezaji wa timu ya Coastal Union wakiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya mchezo wao dhidi ya Yanga kuanza.
Beki wa kushoto wa timu ya Yanga, Oscar Joshua, akipambana na mmoja wa walinzi wa timu ya Coastal Union.
Mashabiki wa timu ya Coasta Union ya Tanga wakishangilia bao lao la pili.
LIGI KUU VODACOM
Jumamosi Januari 30
Coastal Union 2 v 0 Yanga
Simba 3 v 0 African Sports
JKT Ruvu 0 vs 0 Majimaji
Tanzania Prisons vs Azam FC (Imeahirishwa)
Mtibwa Sugar 1 Stand United 0* (Mechi imeahirishwa kutokana na Mvua).
Mwadui FC 1 vs 0 Toto Africans
Kagera Sugar vs Mbeya City*
No comments:
Post a Comment