Mastaa wengine ambao hawamo Kikosini ni Marouane Fellaini na Beki Chipukizi Cameron Borthwick-Jackson.
Lakini wamo Chipukizi kadhaa akiwemo Donald Love ambae Jumamosi aliingizwa kumbadili Matteo Darmian alipoumia huko Sunderland na wengine ni Will Keane, ambae ashawahi kuichezea Timu ya Kwanza pamoja na Regan Poole, Joe Riley na James Weir ambao bado wanalilia Mechi yao ya kwanza kwenye Kikosi cha Kwanza.
De Gea, Romero, Love, McNair, Smalling, Blind, Poole, Riley, Carrick, Herrera, Schneiderlin, Lingard, Pereira, Weir, Mata, Memphis, Martial, Keane.
Michael Carrick
No comments:
Post a Comment