Diego Costa alipowasawazishia bao Chelsea dakika za lala salama kwa kufanya 1-1
Mabingwa wa England, Chelsea, hii Leo wamefanikiwa kupata Sare Uwanjani kwao Stamford Bridge baada ya kusawazisha Dakika za Majeruhi na kuambua Sare ya 1-1 kwenye Mechi ya Ligi Kuu England.
Chelsea walisawazisha Dakika ya 91 kwa Bao la Diego Costa.
No comments:
Post a Comment