Jumanne Usiku zipo Mechi mbili kati ya Atletico Madrid na PSV Eindhoven huko Vicente Calderon Jijini Madrid baada ya Timu hizi kutoka 0-0 kwenye Mechi ya kwanza na nyingine ni ile itakayopigwa Etihad Jijini Manchester huku Man City wakiwa kifua mbele baada ya kuinyuka Dynamo Kiev 3-1 katika Mechi ya kwanza.
TIMU ZILIZOFUZU KUINGIA ROBO FAINALI:
-Real Madrid
-VfL Wolfsburg
-Paris St Germain
-Benfica
Nyingine ni huko Allianz Arena Jijini Munich huku Bayern Munich na Juventus zikiwa zimetoka Sare ya 2-2 kutoka Mechi ya kwanza iliyochezwa Turin Nchini Italy.
No comments:
Post a Comment