Hii ni Mechi ya 195 kwa Klabu hizi kupambana lakini hii itakuwa ni mara ya kwanza kwao kupambana kwenye Mashindano ya UEFA Barani Ulaya.
KUKUTANA:
-Hii ni mara ya kwanza kwa Klabu hizi kukutana kwenye Mashindano ya UEFA.
-Liverpool na Man United zimekutana mara 166 kwenye Ligi na Man United kushinda mara 67 na Liverpool mara 55
-Kwenye Vikombe huko England wamecheza mara 18 huku Man United wakiongoza kwa kushinda mara 11 na Liverpool mara 7
-Katika Mechi 4 zilizopita, Man United wameshinda mara zote chini ya Meneja wao Louis van Gaal
REFA: Carlos Velasco Carballo (Spain)
EUROPA LEAGUE - Raundi ya Mtoano ya Timu 16
MUDA:
21:00 FC Shakhtar Donetsk v RSC Anderlecht
21:00 FC Basel 1893 v Sevilla FC
21:00 Borussia Dortmund v Tottenham Hotspur
21:00 Fenerbahce v SC Braga
23:05 Villarreal CF v Bayer 04 Leverkusen
23:05 Athletic Club v Valencia CF
23:05 Liverpool v Manchester United
23:05 Sparta Prague v Lazio
No comments:
Post a Comment