Akifanya mahojiano na kituo cha La Nacion, Blatter ameeleza kumekuwepo na upangaji wa michezo kwa kutumia mipira ambayo inakuwa ndani ya kapu la kuchanganyia mipira na wanachokifanya ni anayekwenda kuchagua mpira anatumia mpira ambao unakuwa na joto au unakuwa na kawaida.
“Ndiyo, nimeona kwa macho yangu ni kama usaliti … ni katika mashindano ya Ulaya. Unaweza kuona inatumika mipira kwa kuwa ya moto au ya baridi. Nina ushahidi wa hilo.
No comments:
Post a Comment