WAPINZANI wa Mabingwa wa Tanzania Bara Yanga kwenye Kundi A la Mashindano ya Klabu Barani Afrika ya KOMBE LA SHIRIKISHO, CAF CC, TP Mazembe ya Congo DR na Medeama ya Ghana Leo wamepambana huko Stade TP Mazembe Mjini Lubumbashi Nchini Congo DR.
TP Mazembe ilibidi wajitutumue na kutoka nyuma kwa Bao 1 na mwishowe kuichapa Medeama 3-1.
Medeama walitangulia kufunga Bao lao katika Dakika 4 tu kupitia Malik Akowuah na Mazembe kujibu Dakika ya 21 kwa Bao la Rainford Kalaba na kisha kupiga Bao la Pili Dakika ya 45 Mfungaji akiwa Salif Coulibaly na kufunga Bao la 3 Dakika ya 73 kupitia Rainford Kalaba.
Baadae Leo, Saa 6:15 Usiku, kwa Saa za hapa Tanzania, Yanga watajitupa Ugenini huko
Stade Unite Africaine Mjini Bejaia Nchini Algeria kuivaa MO Bejaia katika Mechi nyingine ya Kundi A.
Baada ya Mechi hizi za kwanza za Kundi A, Mechi za Pili ni hapo Juni 28 wakati Yanga watakapoikaribisha TP Mazembe Juni 28 na Siki inayofuata Medeama wako kwao Ghana kucheza na MO Bejaia.
CAF Kombe la Shirikisho:
KUNDI A:
-MO Bejaia (Algeria)
-Yanga (Tanzania)
-TP Mazembe (DR Congo)
-Medeama (Ghana)
KUNDI B:
-KAC Marrakech (Morocco)
-Etoile du Sahel (Tunisia)
-FUS Rabat (Morocco)
-Ahly Tripoli (Libya)
MECHI ZA MAKUNDI
RATIBA/MATOKEO:
Mechi za 1
Ijumaa Juni 17
KAC Marrakech – Morocco 2 ES Sahel – Tunisia 1
Jumapili Juni 19
FUS de Rabat – Morocco v Al-Ahli Tripoli - Libya
MO Bejaia – Algeria v Yanga - Tanzania
TP Mazembe - Congo, DR 3 Medeama – Ghana 1
Mechi za 2
Juni 28
Al-Ahli Tripoli – Libya v KAC Marrakech - Morocco
Yanga - Tanzania v TP Mazembe - Congo, DR
Juni 29
ES Sahel – Tunisia v FUS de Rabat - Morocco
Medeama – Ghana v MO Bejaia - Algeria
Mechi za 3
Julai 15
KAC Marrakech – Morocco v FUS de Rabat - Morocco
Yanga - Tanzania v Medeama - Ghana
Julai 16
ES Sahel – Tunisia v Al-Ahli Tripoli - Libya
Julai 17
MO Bejaia – Algeria v TP Mazembe - Congo, DR
Mechi za 4
Julai 26
Al-Ahli Tripoli – Libya v ES Sahel - Tunisia
Medeama – Ghana v Yanga – Tanzania
Julai 27
FUS de Rabat – Morocco v KAC Marrakech - Morocco
TP Mazembe - Congo, DR v MO Bejaia - Algeria
Mechi za 5
Agosti 12
Al-Ahli Tripoli – Libya v FUS de Rabat - Morocco
Agosti 13
ES Sahel – Tunisia v KAC Marrakech - Morocco
Yanga – Tanzania v MO Bejaia – Algeria
Agosti 14
Medeama – Ghana v TP Mazembe - Congo, DR
Mechi za 6
Agosti 23
KAC Marrakech – Morocco v Al-Ahli Tripoli - Libya
FUS de Rabat – Morocco v ES Sahel - Tunisia
TP Mazembe - Congo, DR v Yanga - Tanzania
MO Bejaia – Algeria v Medeama - Ghana
NUSU FAINALI
Mechi za Kwanza Septemba 16-18 na Marudiano Septemba 23-25
Mshindi wa 2 Kundi B v Mshindi Kundi A
Mshindi wa 2 Kundi B v Mshindi Kundi A
FAINALI
Mechi ya Kwanza Oktoba 28-30 na Marudiano Novemba 4-6
TP Mazembe ilibidi wajitutumue na kutoka nyuma kwa Bao 1 na mwishowe kuichapa Medeama 3-1.
Medeama walitangulia kufunga Bao lao katika Dakika 4 tu kupitia Malik Akowuah na Mazembe kujibu Dakika ya 21 kwa Bao la Rainford Kalaba na kisha kupiga Bao la Pili Dakika ya 45 Mfungaji akiwa Salif Coulibaly na kufunga Bao la 3 Dakika ya 73 kupitia Rainford Kalaba.
Baadae Leo, Saa 6:15 Usiku, kwa Saa za hapa Tanzania, Yanga watajitupa Ugenini huko
Stade Unite Africaine Mjini Bejaia Nchini Algeria kuivaa MO Bejaia katika Mechi nyingine ya Kundi A.
Baada ya Mechi hizi za kwanza za Kundi A, Mechi za Pili ni hapo Juni 28 wakati Yanga watakapoikaribisha TP Mazembe Juni 28 na Siki inayofuata Medeama wako kwao Ghana kucheza na MO Bejaia.
CAF Kombe la Shirikisho:
KUNDI A:
-MO Bejaia (Algeria)
-Yanga (Tanzania)
-TP Mazembe (DR Congo)
-Medeama (Ghana)
KUNDI B:
-KAC Marrakech (Morocco)
-Etoile du Sahel (Tunisia)
-FUS Rabat (Morocco)
-Ahly Tripoli (Libya)
MECHI ZA MAKUNDI
RATIBA/MATOKEO:
Mechi za 1
Ijumaa Juni 17
KAC Marrakech – Morocco 2 ES Sahel – Tunisia 1
Jumapili Juni 19
FUS de Rabat – Morocco v Al-Ahli Tripoli - Libya
MO Bejaia – Algeria v Yanga - Tanzania
TP Mazembe - Congo, DR 3 Medeama – Ghana 1
Mechi za 2
Juni 28
Al-Ahli Tripoli – Libya v KAC Marrakech - Morocco
Yanga - Tanzania v TP Mazembe - Congo, DR
Juni 29
ES Sahel – Tunisia v FUS de Rabat - Morocco
Medeama – Ghana v MO Bejaia - Algeria
Mechi za 3
Julai 15
KAC Marrakech – Morocco v FUS de Rabat - Morocco
Yanga - Tanzania v Medeama - Ghana
Julai 16
ES Sahel – Tunisia v Al-Ahli Tripoli - Libya
Julai 17
MO Bejaia – Algeria v TP Mazembe - Congo, DR
Mechi za 4
Julai 26
Al-Ahli Tripoli – Libya v ES Sahel - Tunisia
Medeama – Ghana v Yanga – Tanzania
Julai 27
FUS de Rabat – Morocco v KAC Marrakech - Morocco
TP Mazembe - Congo, DR v MO Bejaia - Algeria
Mechi za 5
Agosti 12
Al-Ahli Tripoli – Libya v FUS de Rabat - Morocco
Agosti 13
ES Sahel – Tunisia v KAC Marrakech - Morocco
Yanga – Tanzania v MO Bejaia – Algeria
Agosti 14
Medeama – Ghana v TP Mazembe - Congo, DR
Mechi za 6
Agosti 23
KAC Marrakech – Morocco v Al-Ahli Tripoli - Libya
FUS de Rabat – Morocco v ES Sahel - Tunisia
TP Mazembe - Congo, DR v Yanga - Tanzania
MO Bejaia – Algeria v Medeama - Ghana
NUSU FAINALI
Mechi za Kwanza Septemba 16-18 na Marudiano Septemba 23-25
Mshindi wa 2 Kundi B v Mshindi Kundi A
Mshindi wa 2 Kundi B v Mshindi Kundi A
FAINALI
Mechi ya Kwanza Oktoba 28-30 na Marudiano Novemba 4-6
No comments:
Post a Comment