Hadi Mapumziko Gemu ilikuwa 0-0.
Kipindi cha Pili Belgium walikuja juu na kufunga Bao zao kupitia Romelu Lukaku baada ya kazi njema ya Kevin De Bruyne kisha Axel Witsel kufunga kwa Kichwa kutoka Krosi ya Meunier na la tatu kupigwa tena na Lukaku baada ya Kepteni Hazard kuchomoka na mpira vizuri na kumpasia.
No comments:
Post a Comment