Albania waliwamudu vyema France kwa Dakika 89 na ndipo Antoine Griezmann, alietokea Benchi, kuwatoboa kwa Bao la Kichwa na kwenye Dakika za Majeruhi, Dakika ya 95, Dimitri Payet kufunga Bao la Pili.
Baada ya Mechi 2 France wapo juu Kundi A wakiwa na Pointi 6 wakifuata Uswisi wenye Pointi 4, Romania 1 na Albania 0.
No comments:
Post a Comment