Hadi Mapumziko, Portugal waliongoza 3-0 huku Kepteni wao Cristiano Ronaldo akipiga Bao 2 na kupumzishwa wakati wa Haftaimu.
Bao za Portugal zilifungwa na Ronaldo, Dakika za 36, 45, Quaresma, 39, 77, Danilo Pereira, 55, Mets, 61 (alijifunga mwenyewe), na Eder, 80.
Kwenye EURO 2016, Portugal wako Kundi F pamoja na Iceland, Austria na Hungary na wataanza kampeni yao hapo Jumanne Juni 14 kwa kucheza na Iceland.
Baadhi ya Wachezaji wa Portugal wakimpongeza mwenzao Cristiano Ronaldo
Ronaldo akimfunga kwa kichwa kipa wa Estonia
No comments:
Post a Comment