Faria amekuwa pamoja na Jose Mourinho tangu huko Barcelona Mwaka 1996 wakienda pamoja kila Klabu aliyoenda Mourinho tangu wakati huo.
Timu hiyo ya Mourinho ndio imepewa jukumu la kuifufua Man United na kuifanya iwemo kwenye mbio za Ligi Kuu England kitu ambacho wamekikosa tangu astaafu Sir Alex Ferguson Mwaka 2013.
No comments:
Post a Comment