Klabu iliyopanda Daraja, Middlesbrough, imemsaini Kiungo wa Atalanta Marten de Roon kwa Ada ambayo haikutajwa lakini inakisiwa kuwa ni Pauni Milioni 12.
Kiungo huyo kutoka Netherlands alifunga Bao 1 katika Ligi ya Italy Serie A Msimu uliopita.
Huyu anakuwa Mchezaji wa Tatu kusainiwa na Boro katika kipindi hiki na wengine ni Bernardo Espinosa kutoka Sporting na Winga waAjax, Viktor Fischer.
No comments:
Post a Comment