Kupitia video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii amesema timu nzima ya Psquare kwa sasa imerudi tena pamoja.
Akiwa amevalia kofia ndani ya gari, video hiyo inamuonesha Okoye ni mwenye kujuta, akisema kuwa anabeba jukumu kwa yote yaliyotokea.
Peter alikuwa na uhasama na pacha wake Paul, ambaye ndiye amekuwa akiimba naye kwa zaidi ya muongo mmoja, hali iliyofanya kugawa kundi hilo.
Kulikuwa na dalili kwamba utengano wao huo unahatarisha mafanikio ya mapacha hao.
No comments:
Post a Comment