Pep Guardiola alipitua City hivi karibuni Nasri alitupwa nje ya Kikosi cha Kwanza na kulazimika kufanya mazoezi peke take baada ya Meneja huyo kudai amekuwa mnene mno.
Lakini Jumamosi Nasri aliingizwa kutoka Benchi wakati City ikiichapa West Ham 3-1 huko Etihad.
No comments:
Post a Comment