Ayew, mwenye Miaka 26 na ambae alisainiwa na Swansea Mwaka 2015 bure bila Ada kutoka Klabu ya France Marseille, ndie alikuwa Mfungaji Bora wa Swansea Msimu uliopita akiwa na Bao 12.
Hivi sasa Ayew, ambae ni Mtoto wa Lejendari wa Ghana Abedi Pele, anakamilisha makubaliano ya maslahi yake binafsi na West Ham.
Kwa kipindi hiki, West Ham ishamsaini Straika Ashley Fletcher, Kiungo Havard Nordtveit, na Mawinga Sofiane Feghouli na Gokhan.
No comments:
Post a Comment