McCarthy, mwenye Miaka 26, alikaa Msimu mmoja tu huko Palace baada ya kuhamia kutoka QPR Msimu uliopita na amesaini Dili ya Miaka Mitatu na Southampton, maarufu kama ‘Watakatifu’.
Beki Pied, mwenye Miaka 27, aliwahi kuchezea chini ya Meneja mpya wa Southampton Claude Puel walipokuwa Nice Msimu uliopita.
Mfaransa huyo amesaini Mkataba wa Miaka Miwili na anakuwa Mchezaji wa Nne kusainiwa na Southampton katika kipindi hiki.
Wapya wengine waliosainiwa na Southampton ni Nathan Redmond kutoka Norwich na Pierre-Emile Hojbjerg kutoka Bayern Munich.
No comments:
Post a Comment