Calleri, mwenye Miaka 22, aliwakilisha Argentina huko Brazil kwenye Michezo ya Olimpiki ambako Jumatano Usiku ilitupwa nje baada ya kushindwa kuvuka Kundi lao.
Calleri alikuwa huko Brazil kwa Mkopo kwenye Klabu ya Sao Paolo na kuwa Mfungaji Bora kwenye Copa Libertadores.
West Ham, chini ya Meneja Slaven Bilic, itafungua dimba Msimu wao mpya wa Ligi Kuu England Jumatatu Usiku kwa kucheza Ugenini huko Stamford Bridge na Chelsea.
No comments:
Post a Comment