Hafla ya kusaini mkataba huo itafanyika kwenye Hoteli ya Serena, iliyoko kwenye makutano ya barabara za Ali Hassan Mwinyi na Ohio jijini Dar es Salaam. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wanakaribishwa kwenye hafla hiyo itakayofanyika hotelini hapo.
IMETOLEWA NA TFF
No comments:
Post a Comment