Kwa matokeo hayo, Kilimanjaro Queens itamenyana na wenyeji Uganda katika Nusu Fainali Jumapili, wakati Nusu Fainali nyingine itazikutanisha Kenya vs Ethiopia.
Fainali ya CECAFA Challenge ya kwanza ya wanawake inatarajiwa kufanyika Septemba 20, ikitanguliwa na mchezo wa kusaka mshindi wa tatu.
No comments:
Post a Comment