Chelsea walitangulia kwa Bao 1-0 hadi Haftaimu kwa Bao la Diego Costa.
Lakini, katika Dakika 2 za Kipindi cha Pili, Swansea waliigeuza Mechi na kupiga Bao 2 na kuongoza 2-1.
Bao la kwanza Swansea lilifungwa na Gylfi Sigurdsson kwa Penati iliyotolewa baada yeye mwenyewe kuangushwa na Kipa wa Chelsea Thibaut Courtois na Dakika 2 baadae Leroy Fer kuweka Bao la Pili baada ya makosa makubwa ya Gary Cahill.
No comments:
Post a Comment