BUKOBA SPORTS

Sunday, September 11, 2016

SIMBA YALAMBA SUKARI YA MTIBWA UWANJA WA UHURU LEO, YAILAZA KWA BAO 2-0

Wachezaji wa Timu ya Simba wakishangilia ushindi wao walioupata dhidi ya Timu ya Mtibwa Suger, katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Simba imeshinda Bao 2-0.

No comments:

Post a Comment