
Msimu huu, Silva, mwenye Miaka 22, aliisaidia sana Monaco kutwaa Ubingwa wa Ligi 1 huko France na pia kuifikisha Nusu Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI.
Silva ameichezea Timu ya Taifa ya Portugal mara 12 na kufunga Bao 1 na kukipiga Mechi 58 na Monaco akifunga Bao 11.
No comments:
Post a Comment