BUKOBA SPORTS

Saturday, May 27, 2017

VALENCIA ASAINI NYONGEZA YA MIAKA 2 OLD TRAFFORD

http://www.manutd.com/sitecore/shell/~/media/BFFF91D7C4AB4F32905CFAA1405B7A6A.ashx?w=1280&h=720&rgn=0,325,2036,1472Mchezaji wa Manchester United Antonio Valencia amesaini nyongeza ya Miaka Miwili kwenye Mkataba wake ambao pia una Kipengele cha kubaki Mwaka Mmoja zaidi ya 2019.

Valencia, mwenye Miaka 31 na ni Mchezaji wa Kimataifa kutoka Ecuador, ameichezea Man United Mechi 43 Msimu huu nan die alikuwa Kepteni Juzi Jumatano wakati Man United inaichapa Ajax 2-0 kwenye Fainali na kubeba UEFA EUROPA LIGI huko Stockholm, Sweden.
Valencia alijiunga na Man United Mwaka 2009 akitokea Wigan.

No comments:

Post a Comment