
Kabla Robo Fainali ya UCL Msimu huu Ronaldo alikuwa nyuma mno ya Messi akiwa na Bao 9 pungufu.

Jana, kwenye Fainali, Ronaldo alipiga Vao 2 Real ikiichapa Juve 4-1.

Pia mara baada ya Fainali hiyo, Ronaldo alikabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Fainali hiyo kutoka kwa Sir Alex Ferguson ambae alikuwa na Ronaldo kwa Miaka 6 huko Man United.
UCL - WAFUNGAJI BORA:
12 Cristiano Ronaldo Real Madrid
11 Lionel Messi Barcelona
8 Edinson Cavani Paris
8 Robert Lewandowski Bayern
7 Pierre-Emerick Aubameyang Dortmund
Ronaldo pia ameikamata Rekodi ya Messi ya kupiga Hetitriki 7 kwenye UCL.
UCL - WAFUNGAJI BORA KWA MISIMU MFULULIZO:
5. Cristiano Ronaldo Real Madrid 2012/13, 2013/14, 2014/15, 2015/16, 2016/17
4. Lionel Messi Barcelona 2008/09, 2009/10, 2010/11, 2011/12
3. Gerd Müller Bayern 1972/73, 1973/74, 1974/75
3. Jean Pierre Papin Marseille, Milan 1989/90, 1990/91, 1991/92
No comments:
Post a Comment