Romelu Lukaku (katikati) akipongezwa mara baada ya kuisawazishia bao kwa kufanya 1-1 leo kwenye Uwanja wa Old Trafford. Man United wameshinda bao 2-1.
Willian akipitisha mpira kumfunga mbele ya Antonio Valencia's na kufunga bao.
Defender Chris Smalling, Scott McTominay, wote walimpongeza Lukaku
No comments:
Post a Comment