
Sergio Aguero akishangilia bao lake na Leroy Sane dakika ya 19 baada ya kuitanguliza Man City mbele.
Bao la 30 kwa msimu huu kwa Manchester City na likiwa la 199tangu atue klabuni hapo mwaka 2011. 
Laurent Koscielny, Aguero wakiucheki mpira katikati huku Aguero akionekana zaidi

Aguero alipofunga bao la 30 dhidi ya kipa David Ospina

Shangwe kwa Aguero

Meneja Arsene Wenger na Pep Guardiola wakisalimiana

Kazi kazi...kwa Mameneja.

Vincent Kompany akishangilia bao lake hukoWembley

2-0

Kompany akishangilia bao lake baada ya ukame

Kompany alipofunga bao.

Wakampongeza hapa kwa bao

David Silva alifunga bao la tatu

Silva akishangilia bao lake

Silva akipongezana na wachezaji walioko benchi

Hoi!!! wakionekana kuzidiwa kila kitu na Man City!
No comments:
Post a Comment