Mchezaji wa Timu ya Kahororo Fc akiwa hoi baada ya kufungwa 3-2 na Timu ya Ijuganyondo jioni hii kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kwenye Ligi ya Kamala Cup 2018.
Friday, March 30, 2018
TIMU YA IJUGANYONDO FC YATINGA FAINALI BAADA YA KUIFUNGA BAO 3-2 TIMU YA KAHORORO FC
Mchezaji wa Timu ya Kahororo Fc akiwa hoi baada ya kufungwa 3-2 na Timu ya Ijuganyondo jioni hii kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kwenye Ligi ya Kamala Cup 2018.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment