BUKOBA SPORTS

Tuesday, April 10, 2012

LIVE KUTOKA LEADERS CLUB MATAYARISHO YA KUMUAGA STEVEN KANUMBA


 Mashabiki wa marehemu Steven Kanumba wakiendelea kumiminika.

Muheshimiwa Sugu mbunge wa Mbeya mjini akiwasili kwenye viwanja vya leaders tayari kwa kumuaga marehemu Steven  

Ben Branco(aliyevaa t sheti nyeupe) miongoni waliocheza Filamu nyingi za marehemu  

 Camera man/Editor wa Kanumba The Great akiojiwa juu ya msiba aliyekuwa bosi wake.

 Maojiano yakiendelea.

Mheshimiwa Nchimbi akiwa na Riz One Kikwete(katikati)
na Iddi Azani Mbunge wa Kinondoni wakisubili mwili wa marehumu kuwasili 

 Mheshimiwa Nchimbi akiongea jambo fulani.

 Umati mkubwa ulioudhuria.

Hemedy Sulemani.

 Monalisa ni msanii aliyekuwa anamkubari marehemu.

 Rose Ndauka.


Mwili wa marehemu ukiwasili kwenye viwanja vya leaders.

Mama wa marehemu akilia kwa uchungu baada ya mwili wa marehemu ulipowasili.

 The Greatest akiwa makini kusikiliza kinachoendelea.
 Mashabiki wa marehemu wakiwa kwenye majozi makubwa.

The Greatest akiwa makini kufuatilia msiba.

 Baadhi ya wana kamati wakiwa kwenye majozi.

 Wasanii waliobeba mwili wa marehemu.
Mama wa marehemu wa kwanza kushoto akiwa na baadhi ndugu wa marehemu.
Richie na JB wakiteta.
 Ratiba zikiendeleya.

Baada ya eshima ya mwisho mwili wa marehemu uliondoka viwanja vya leaders na kuelekea makaburini.
 Gari la maiti likielekea makaburini.

 Hii ndiyo nyumba ya milele ya marehemu.

Hii ndo safari ya mwisho ya marehemu Steven Kanumba.


POLE MAMA STEVEN KANUMBA

 Muda ulifika wa Mama Kanumba kuwasili uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere maana wakati mauti yanamfika mwanae alikuwa safarini Bukoba.Mama yangu mzazi(mwenye nguo nyeupe) ndiye aliyeongoza msafara wa kwenda kumpokea Mama Kanumba

 Kamati ya mapokezi ikimsubiri Mama Kanumba kuwasili.

 Muda ulifika na Mama akawasili na majonzi yakatawala.

Kilio na simanzi vilitawala uwanjani hapo(kulia) ndiye Mama yangu mzazi, Mama Mary Kigosi akimsaidia rafiki yake.

 Pole sana Mama kwa msiba mkubwa uliokupata ninakuwaidi nitakuwa pamoja nawe kwenye shida na raha

Mama alishindwa kabisa kuzuia hisia zake mpaka kuzimia.

 Njiani kuelekea msibani.

 Tukimsubiri Mama mzazi wa Marehemu Kanumba.

Baada ya kufika nikaenda kumpa pole,alilia sana aliponiona na kuniambia pacha wako mwanangu yuko wapi umebaki peke yako? Niliumia sana.

 Mazungumzo yakaendelea.

Akiliaa kwa uchungu mkubwa sana. Pole mama.

 Kesho yake nikaenda kutafuta jeneza la kumzikia ndugu yetu mpendwa.

Hili ndilo jeneza aliozikiwa Marehemu Steven Kanumba.

 Baada ya kutoka kwenye majeneza nikaenda kuwachukua maskali kwa ajili ya postmortem
 Tukiendelea kusubiria.

Nikiwa nimeshamaliza hatua zote.
Kinachosubiriwa kwa sasa ni mwili wa marehemu kuwasili eneo hili la Leaders Club. Nitakuwa najitaidi kuwawekea matukio kila baada ya nusu saa.


  jeneza lililobeba mwili wa Marehemu limewasili.Watu wanalia kwa uchungu sana.Wengi wanagombania kuligusa


 Kwa mbele



 Umati wa watu uwanjani hapo





Ni simanzi na majonzi






Watu wameisha anza kuzima na msalaba mwekundu umeanza kazi yao


Watu wengi wanazidiwa na kuzimia.Jamaa wa Red Cross wanajitahidi kadiri wanavyoweza.
Usalama umeimarishwa katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam kwa ajili ya msiba huo.
Kama unavyoona katika picha usalama ni mkubwa na watu wameandaliwa maeneo ya kukaa kwa ajili ya msiba huo.
Waombolezaji mbalimbali wakiingia katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam.
Ni hali ya majonzi pamoja na kwamba kuna jua kali lakini waombolezaji wengi wamejitokeza katika viwanja hivi.
Makapeti mekundu yametandikwa katika viwanja hivyo kwa ajili ya kupita viongozi na watu maarufu.


Ni majonzi 


 Mgeni Rasmi Mama Salma alipowasili msibani na waombolezaji wengine


 Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbiliyini alipowasili viwanjani hapo


Jukwaa likfanyiwa maandilizi




TUTAKUKUMBUKA DAIMA KANUMBA
 He wasn't shy to try different looks..

With such a great body..he looked amazing in everything!

THIS is my favorite look!! Color blocking Green,Red and that blue jeans!!

 As an ambassador for Srattimes...his ads were funny...lol
And these are some of the pictures i got to take myself...during the Red Ribbon Fashion gala
Looking elegante...This is the Late Steven Kanumba 1984-2012

No comments:

Post a Comment