Mdogo wake na marehemu Kanumba akiongea na waandishi wa habari |
ELIZABETH MICHAEL LULU
Picha iliyoko sebuleni kwa kanumba |
Umati wa watu ukiwa katika hali ya sijitambui nje ya nyumba aliyokuwa akiishi msanii wa filamu za bongo nchini Steven Kanumba.
Mtangazaji wa East Africa Radio Anne Peter akifanya mahojiano na mmoja wa ndugu wa marehmu.
Mdogo wa marehemu Seti Bosco aliyekuwa akiishi na marehemu Steven Kanumba akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusiana na kifo cha aliyekuwa msanii wa filamu za Kitanzania.
Kwa mujibu wa Bwana Bosco marehemu alikuwa na bifu na Elizabeth Michael a.k.a LULU mara ya mwisho alimwabia Seti nenda chumbani Kaka yako amezimia, na kwa mujibu wa taarifa alipokwenda chumbani inasemekana alimkuta amezimia huku akiwa anatokwa na povu mdomo.
Pichani Juu na Chini ni baadhi ya wasanii wa filamu nchini wakiwa hawaamini taarifa za kifo cha Steven Kanumba.
“Siamini kama amekufa”…Steve Nyerere akiongea na waandishi wa habari.
Baadhi ya wasanii wakiomboleza kwa majonzi.
”Bwana ametoa na Bwana ametwaa”. Asha Baraka, Eric Shigongo na H. Baba nyumbani kwa marehemu.
Ndugu, Jamaa na marafiki wakiendelea kuwasili.
Aliyewahi kutwaa taji la Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu katika huzuni.
Vilio na Simanzi vimetawala nyumbani kwa marehemu Steven Kanumba.
Vitu vimetolewa ili watu waweze kukaa vizuri msibani |
Jackline Wolper akiwa amezimia |
Baadhi ya waombolezaji ile kumi alfajiri tayari wasanii karibia wote walishafika watu ni wengiii mnooooo vyombo vya habari karibia kila kona |
No comments:
Post a Comment