BUKOBA SPORTS

Monday, April 9, 2012

MANCHESTER UNITED WAZIDI KUPAA, WAIFUNGA QPR 2-0 WAPETA NA POINT 8 KAVU

 Job done: Paul Scholes (right) celebrates with team-mates Ryan Giggs (centre) and Antonio Valencia Kazi imefanyika: Paul Scholes (kulia) akishangilia na  Ryan Giggs (katikati) na Antonio Valencia

Mabingwa watetezi Manchester United jana waliwaachia zigo kubwa Mahasimu wao Manchester City baada ya kuwachapa QPR bao 2-0 kwenye Mechi ya Ligi Kuu England na kujizatiti kileleni wakiwa Pointi 8 mbele na hivyo kuwafanya Man City, wanaocheza ugenini Emirates, Man city nao mambo hayakwenda saaafi baada ya kutunguliwa goli 1-0 na Arsenal. City wamelazimika kupoteza pointi tatu baada ya kukomaliwa na wazee wa mtutu Arsenal. Kutwaa  Ubingwa City umeyeyuka huku Mechi za Msimu huu zikiendelea kuyoyoma wao wakiwa wamebakisha Mechi 6 na Man United Mechi 6.


Bao la kwanza lilifungwa na Wayne Rooney kwa penati ambayo imezua utata kwa madai kuwa Ashley Young, alipopasiwa mpira na Rooney, alikuwa ofsaidi na pia hakuchezewa rafu na Beki wa QPR Derry.

Tukio hili la Dakika ya 13 lilimfanya Derry apewe Kadi Nyekundu na Refa Lee Mason na Rooney kufunga penati hiyo.

Contentious: Ashley Young falls under the challenge of Shaun Derry, who was sent off (below)
             Ashley Young akianguka chini eneo la hatari na kupewa Red kadi  Shaun Derry

Queens Park Rangers' captain Shaun Derry makes his way from the pitch after being sent off Queens Park Rangers' captain Shaun Derry makes his way from the pitch after being sent off
             Shaun Derry aliyepewa kadi nyekundu akitoka uwanjani

Spot on: Wayne Rooney fires home the penalty as Manchester United take the lead against QPR
 Wayne Rooneyakipiga mkwaju wa penati, alifunga hiyo penati na ikawa 1-0 kipindi cha kwanza

Manchester United's Wayne Rooney scores his side's first goal of the game from the penalty spot
                                   Rooney: akifunga penati
Opening salvo: Rooney celebrates after putting United in front against QPR at Old Trafford


Come on ref! QPR manager Mark Hughes won't be happy with the decisions that went against his side
 QPR manager Mark Hughes hakufurahia kitendo cha refa kutoa penati na red kadi

Double trouble: Scholes fires home from long range to make the three points safe at Old Trafford

Lakini katika Dakika ya 68 Mkongwe Paul Scholes alikata ngebe zote kwa shuti la Mita 25 lililoambaa na kudunda chini mbele ya Kipa Kenny aliedaivu na kwenda moja kwa moja ndani ya kamba na kuandika bao la pili.
Manchester United's Paul Scholes celebrates with his team-mates after scoring his side's second goal
Brothers in arms: Manchester United's Rio Ferdinand shakes hands with brother Anton
Brothers in arms: Manchester United's Rio Ferdinand shakes hands with brother Anton

MSIMAMOTIMU ZA JUU
[Kila Timu imecheza Mechi 32 isipokuwa inapotajwa]  
1 Man United Mechi 32 Pointi 79
2 Man City  Mechi 32 Point 71
3 Tottenham Mechi 32 Pointi 59
4 ArsenalMechi 32 Point 61



Mechi inayofuata kwa Man United ni Jumatano watakapokuwa wageni wa Wigan.

Vikosi vilivyoanza:
Man United: De Gea; Rafael, Ferdinand, Evans, Evra; Valencia, Carrick, Scholes, Young; Rooney, Welbeck.
Akiba: Amos, Jones, Giggs, Park, Hernandez, Cleverley, Pogba. 
QPR: Kenny, Onuoha, Ferdinand, Hill, Taiwo, Diakite, Derry, Mackie, Taarabt, Buzsaky, Bothroyd
Akiba: Cerny, Gabbidon, Campbell, Young, Smith, Wright-Phillips, Zamora. 

Refa: Lee Mason.

No comments:

Post a Comment