BUKOBA SPORTS

Thursday, April 5, 2012

SIMBA WAKIWA WANAFANYA MAZOEZI JANA JIONI KUKABILIANA NA WAARABU

Ally Mustapha Barthez akijifua mazoezini leo hii mjini Setif.








Kocha wa Simba Milovan Cirkovic akifuatilia mazoezi kwa umakini


Okwi, Machaku na Sunzu wakipasha jioni ya leo hapa Algeria.




Amiri Mafta
Mwinyi Kazimoto nae akiwa katika hali nzuri akifanya mazoezi na wenzake.

Kikosi cha Simba wakiwa wanaomba dua baada ya kumaliza mazoezi jioni ya leo.

No comments:

Post a Comment