BUKOBA SPORTS

Saturday, May 5, 2012

LIGI KUU ENGLAND: ARSENAL NGUVU SAWA NA NORWICH ZAFUNGANA 3-3 LEO.

Three's a crowd: Steve Morison struck with five minutes remaining to snatch a draw
Steve Morison akifunga goli la tatu katika dakika 5  za lala salama
BAO la dakika za lala salama la Steve Morison limeinusuru Norwich kuzama mbele ya Arsenal kwa kupata sare ya 3-3 na kuiweka katika mazingira magumu sasa Arsenal kucheza Ligi ya Mabingwa msimu ujao.
Perfect start: Yossi Benayoun gave Arsenal the perfect start with a beautiful curled effort
Yossi Benayoun akitupia goli la kwanza kwa Arsenal 
 Yossi Benayoun alifunga bao zuri dakika ya pili, lakini Wojciech Szczesny akajiruhusu kufungwa kirahisi na Hoolahan dakika ya 12.Happy birthday: Benayoun, probably playing in his last home match for the club, was celebrating his birthday
Grant Holt aliifungia bao la kuongoza Norwich dakika ya 12, lakini Van Persie akasawazisha dakika ya 72 na kufunga la tatu dakika ya 80 kabla ya Morison kufanya sare ya 3-3.Back in it: Robin van Persie came to the rescue with two goals in the final 18 minutesArsenal inabakiwa nafasi ya tatu kwa pointi zake 67, lakini ikiwa imecheza mechi moja zaidi dhidi ya Tottenham yenye pointi 65.
Contrasting emotions: Morison was delighted with his late impact, while Benayoun's early strike was long forgotten by the time full-time came around
Contrasting emotions: Morison was delighted with his late impact, while Benayoun's early strike was long forgotten by the time full-time came around

 Morison apoteza matumaini ya ushindi wa point 3 za Arsenal kwa goli la  Benayoun katika dakika za  lala salama.
 

No comments:

Post a Comment