BUKOBA SPORTS

Tuesday, May 15, 2012

LUIS ANTONIO VALENCIA APATA TUZO MANCHESTER UNITED JANA USIKU

Usiku wa jana ulikuwa ni bora zaidi kwa kijana kutoka Ecuador bwana Luis Antonio Valencia anayeichezea klabu ya Manchester United baada ya kufanikiwa kuchukua tuzo tatu zinatolewa na klabu hiyo kila mwisho wa msimu. Valencia alishinda tuzo ya goli bora la msimu kwa klabu hiyo alilofunga dhidi ya Blackburn, pia akashinda tuzo ya mchezaji bora anayeteuliwa na wachezaji pamapoja na tuzo ya mchezaji wa mashabiki.
Bouncebackability: Wayne Rooney delivered a speech to his down-trodden team-matesBouncebackability: Wayne Rooney delivered a speech to his down-trodden team-mates


Phil JonesFederico Macheda
David de Gea

No comments:

Post a Comment