Amina Seleman |
Aisha Idrisa
Roswita Innocent
Herry Nicodem
Pendo Simon
Vivian Silaa
Cecilia Alex
Nguza Shaaban
Marcelina Frank
Brenda Richard
Kuney Elizabeth
Livelove Clemence
Whitness Moses
Shindano la Miss Nyamagana 2012/2013, linatarajiwa kufanyika usiku wa Jumamosi ya terehe 02 June 2012 katika ukumbi wa Gold Crest Jijini Mwanza. Takriban warembo 25 wamejitokeza katika shindano hilo, huku idadi ya warembo kujaza form za ushiriki ikiongezeka kila kukicha.
Mazoezi kwa warembo yataanza rasmi tarehe 14 June 2012 katika ukumbi wa Gold Crest Mwanza. Kwa mawasiliano ya udhamini na ushiriki kwa warembo piga namba 0717 557 220, 0764 088 485
No comments:
Post a Comment