BUKOBA SPORTS

Thursday, May 10, 2012

MWENGE WA OLIMPIKI WAWASHWA UGIRIKI

Moto wa mwenge utakaotumiwa kuasha mwenge wa mashindano ya Olimpiki mjini London uliashwa mahali yalipozaliwa mashindano ya kale ya Olimpiki siku ya Alhamisi.
  Journey begins: The Olympic flame is lit at the site of ancient Olympia

Mwenge wa Olimpiki
Muigizaji mwanamke, aliyevalia kama mtawa mwanamke wa enzi za miungu wa Kigiriki alitumia kiyoo kupokea mwanga wa jua na kuasha mwenye.
Final countdown: The lighting of the flame is one of the final official tasks to be carried out before the Games begin Kukiwa na jua la kutosha angani, hapakua na sababu ya kutegemea moto kutoka kwingine wakati wa kufanya majaribio ya mwisho kuasha mwenge wa Olimpiki siku moja kabla.

On the run: British boxer Alexander Loukos runs with the Olympic flame
Mwenge wa Olimpiki
Baada ya sherehe za kufana, mtawa huyo atakabidhi mwenge kwa mtu wa kwanza kutembeza mwenge huo, mwanariadha muogeleaji kutoka Ugiriki aliyeshinda medali ya fedha kwenye mashindano yya Olimpiki Spyros Gianniotis.
 On the run: British boxer Alexander Loukos runs with the Olympic flame
Gianniotis ni mmoja wa watu 490 watakaotembeza mwenge huo mwendo wenye umbali wa kilomita 2,900 kupitia Ugiriki kabla haujakabidhiwa kwa watayarishaji wa mashindano ya London tarehe 17 May.
 Cop that: There was a large police presence during the eventAskari nao walikuwepo eneo la tukio wakati mwenge huo ukiwashwa
Tafauti na tabia ya mashindano ya awali, ambapo mwenge huu unazungushwa dunia nzima, safari hii utavuka nje ya visiwa vya Uingereza mara moja u, kupitia Dublin mnamo tareh 6 Juni.
Mashindano ya Olimpiki yataanza tareh 27 Julai hadi tareh 12 Agosti 2012.

No comments:

Post a Comment