BUKOBA SPORTS

Tuesday, May 8, 2012

nPOWER CHAMPIONSHIP: (MCHUJO)WEST HAM YATINGA FAINALI BAADA YA KUIFUMUA CARDIFF CITY 3-0!

Kevin Nolan - West Ham United 3 Cardiff City 0, agg: 5-0: match report      Kevin Nolan,  West Ham United captain akishangilia baada ya West Ham united kushinda
West Ham jana wameifumua Cardiff City bao 3-0 na kutinga Fainali ya Mechi za Mchujo kuwania nafasi moja kuungana na Reading na Southampton kupanda Daraja na kucheza Ligi Kuu England Msimu ujao.
 Jack Collison, centre, celebrates after scoring West Ham's second goal against Cardiff
West Ham, ambao waliichapa Cardiff bao 2-0 katika Mechi ya kwanza iliyochezwa huko Mjini Cardiff, leo wakicheza nyumbani Uwanja wa Upton Park walifunga bao zao kupitia Kevin Nolan, Vaz Te na Nicky Maynard.
 You said it: West Ham's players thanks their fans at the last game of the season at Upton Park
Kwenye Fainali, itakayochezwa Wembley hapo Mei 19, West Ham watacheza na Mshindi kati ya Birmingham na Blackpool ambazo zitarudiana Jumatano Mei 9 huku Blackpool akiwa mbele baada ya kushinda Mechi ya kwanza 1-0.
No stopping that: Vaz Te blasts into the top corner of the Cardiff net during the first half
VIKOSI:
West Ham: Green, Demel, Tomkins, Reid, Taylor, O'Neil, Noble, Nolan, Collison, Cole, Vaz Te
Akiba: Henderson, McCartney, Maynard, Faubert, Lansbury.
Cardiff: Marshall, McNaughton, Hudson, Turner, Taylor, Lawrence, Gunnarsson, Whittingham, McPhail, Mason, Miller
Akiba: Heaton, Kiss, Cowie, Earnshaw, Blake.
Refa: Mike Dean.

No comments:

Post a Comment