BUKOBA SPORTS

Thursday, May 3, 2012

SERIE A: VINARA JUVE WANYEMELEWA NA AC MILAN. MECHI ZIMEBAKI MBILI TU.


AC Milan wameisogelea Juventus inayoongoza Serie A huko Italia na sasa wako Pointi moja tu nyuma yao huku Mechi zimebaki mbili baada ya kuifunga Atalanta bao 2-0 na Juve kutoka sare 1-1 na Lecce.


MSIMAMOTIMU ZA JUU
[Kila Timu imecheza Mechi 36 bado Mechi 2]
1 Juventus Pointi 78
2 AC Milan 77
3 Napoli 58 [Tofauti ya Magoli 21]

Bao za AC Milan zilifungwa na Sulley Muntari na Robinho.
Nayo ile vita yakugombea nafasi ya 3 na ya mwisho kucheza Ulaya Msimu ujao imepamba moto baada ya Udinese kuifunga Cesena bao 1-0 na sasa kufungana kwa Pointi na Timu ya 3 Napoli.
Timu nyingine zinazogombea nafasi hizo, Inter Milan na Lazio, zilijichanganya baada ya Inter kufungwa 3-1 na Parma na Lazio kutoka sare 1-1 na Siena.

MSIMAMO WA LIGI ULIVYO "SERIE A"


# Team MP W D L F A D P Last 5 matches
1
36 21 15 0 63 19 +44 78 D W W W W
2
36 23 8 5 70 28 +42 77 W W W D W
3 Previous rank: 4 36 15 13 8 64 43 +21 58 W D W W L
4 Previous rank: 5 36 16 10 10 48 35 +13 58 W W L D L
5 Previous rank: 3 36 16 8 12 51 46 +5 56 D L L D L
6
36 16 7 13 53 50 +3 55 L W W D W
7
36 15 7 14 55 50 +5 52 D D L L W
8 Previous rank: 10 36 13 11 12 51 53 -2 50 W W W W W
9 Previous rank: 13 36 12 12 12 39 42 -3 48 W W D D W
10 Previous rank: 9 36 11 14 11 45 48 -3 47 L D L W L
11 Previous rank: 8 36 13 13 10 40 38 +2 46 L W W L W
12
36 11 12 13 30 41 -11 45 D D L D L
13 Previous rank: 11 36 11 11 14 44 41 +3 44 D L D W L
14 Previous rank: 16 36 10 12 14 37 44 -7 42 L D W L L
15 Previous rank: 14 36 10 12 14 36 43 -7 42 D L W D D
16 Previous rank: 15 36 11 9 16 48 56 -8 42 L D L D D
17
36 10 9 17 48 67 -19 39 W L L L D
18
36 8 12 16 40 54 -14 36 D L L D W
19
36 6 11 19 31 63 -32 29 D L W L L
20
36 4 10 22 22 54 -32 22 L L L D D

No comments:

Post a Comment