BUKOBA SPORTS

Saturday, June 9, 2012

EURO 2012: WENYEJI POLAND WATOANA SARE NA GREECE, RUSSIA WAIFUMUA CZECH 4-1!!

Mashindano ya kutafuta Taifa Bingwa huko Barani Ulaya, EURO 2012, yalianza kwa kishindo jana kwa Sherehe za ufunguzi murua ndani ya Uwanja wa Taifa Mjini
 
Warsaw na kisha Wenyeji kutinga kucheza na Greece kwenye Mechi ya Kundi A iliyotoa Kadi Nyekundu mbili, moja kwa kila upande, Greece kukosa penati na kumalizika sare ya bao 1-1.
 
Katika Mechi nyingine ya Kundi A iliyofuatia baadae, Russia iliwatandika Czech Republic bao 4-1.
 
Robert Lewandowski, Straika wa Borussia Dortmund anaesemwa yu njiani kuhamia Manchester United, nde aliefunga bao la Poland katika Dakika ya 17 na Greece wakapata balaa zaidi baada ya Sentahafu wao Sokratis Papastathopoulos kutolewa kwa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 44.
 
Kipindi cha Pili, Greece walisawazisha Dakika ya 51 kwa bao la Dimitris Salpingidis na katika Dakika ya 70
 
wakapata penati baada ya Kipa anaechezea Arsenal, Wojciech Szczesny, kumwangusha Salpingidis ndani ya boksi na kupewa Kadi Nyekundu lakini penati ya Giorgos Karagounis iliokolewa na Kipa wa Akiba Przemyslaw Tyton.
 
Kwenye Mechi ya pili, Russia waliwasha moto kwa kutangulia kwa bao 2-0, bao za Alan Dzagoev, Dakika ya 15, na Roman Shirokov, D



Kipindi cha Pili, Czech Republic walipata bao lao pekee katika Dakika ya 452 mfungaji akiwa Vaclav Pilar lakini Russia wakaongeza bao mbili zaidi kwa bao jingine la Alan Dzagoev na Roman Pavlyuchenko kwenye Dakika za 79 na 82.
All smiles: Russia coach Advocaat will be pleased with his team's commanding display
 KOCHA WA RUSSIA AKIELEKEZA WACHEZAJI WAKE JANA
... unlike Czech headcoach Michal Bilek
Net result: Shirokov's delightful dinked finish made it 2-0 to Russia midway though the first half
 Shirokov Akiweka idadi ya 2-0 kwa  Russia kabla ya kipindi cha pili

Net result: Shirokov's delightful dinked finish made it 2-0 to Russia midway though the first half
Fightback: Pilar's strike early in the second half briefly gave the Czech Republic hope
RATIBA YA LEO.
KUNDI B:
Jumamosi Juni 9
[Saa 1 Usiku]
Netherlands v Denmark, Kharkiv, Ukraine
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Germany v Portugal, Lviv, Ukraine

No comments:

Post a Comment